Serikali ya CCM kwa nini msiwe wakweli tu kuwambia wahusika kwamba Mhakama ya Kadhi haitatungiwa sheria? Sasa Miscellaneous amendment inafanywa kwa kutoka kwenye sheria ipi? Kama Jambo halina hata misingi kwenye Katiba ya sasa mtawezaje kulifanyia marekebisho? Du ama kweli sasa nakubali na kuelewa kwamba Watanzania Elimu na uelewa wetu umeshuka kinoma?
Connect With Us