Habari wadau!
Hata sitaki kuwa chosha,
naenda moja kwa moja kwenye swali langu.
Ivi hawa jamaa Yaani Godbless Lema na Ally Bananga wamekuwa mashoga siku hizi au ni majukumu tu ya kazi ndio yanayowakutanisha pamoja?
Nakumbuka kama kumbu kumbu zangu ziko sawa siku za nyuma Bananga na Lema walikuwa hawapikiki Chungu Kimoja sasa najiuliza tu huu Ushoga wao ulianza lini? Naomba wajuzi wa mambo mnijuze
Naomba nikiri wazi kilichonifanya kupandisha uzi huu na kuuliza swali hilo ni uwepo wa taarifa juu ya Lema na Bananga wawili hao jana usiku wamesalimika kutekwa na Majambazi,
ni juhudi tu za dereva wao ndio zilizo saidia
Connect With Us